-
Ezekieli 21:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 “Nawe, mwana wa binadamu, chora njia mbili ambazo upanga wa mfalme wa Babiloni utapitia. Zote mbili zitaanzia nchi ileile, na ishara iwekwe* mahali ambapo barabara inatengana ili kuingia katika yale majiji mawili. 20 Unapaswa kuchora njia moja ili upanga ushambulie jiji la Raba+ la Waamoni, na njia nyingine ili ushambulie jiji la Yerusalemu+ lenye ngome, nchini Yuda.
-