Yeremia 49:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “‘Kwa hiyo tazameni! siku zinakuja,’ asema Yehova,‘Nitakapofanya king’ora cha vita kisikike* dhidi ya jiji la Raba+ la Waamoni.+ Atakuwa kilima chenye ukiwa,Na miji yake itawashwa moto.’ ‘Na Israeli atawamiliki wale walioichukua nchi yake,’+ asema Yehova. Ezekieli 25:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nitalifanya jiji la Raba+ liwe malisho ya ngamia, na nchi ya Waamoni iwe mahali pa kupumzika kwa ajili ya mifugo; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”’” Amosi 1:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Basi nitaushushia moto ukuta wa Raba,+Nao utateketeza kabisa ngome zake zenye minara,Kwa kelele za vita katika siku ya mapigano,Kwa tufani katika siku ya kimbunga.
2 “‘Kwa hiyo tazameni! siku zinakuja,’ asema Yehova,‘Nitakapofanya king’ora cha vita kisikike* dhidi ya jiji la Raba+ la Waamoni.+ Atakuwa kilima chenye ukiwa,Na miji yake itawashwa moto.’ ‘Na Israeli atawamiliki wale walioichukua nchi yake,’+ asema Yehova.
5 Nitalifanya jiji la Raba+ liwe malisho ya ngamia, na nchi ya Waamoni iwe mahali pa kupumzika kwa ajili ya mifugo; nanyi mtalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.”’”
14 Basi nitaushushia moto ukuta wa Raba,+Nao utateketeza kabisa ngome zake zenye minara,Kwa kelele za vita katika siku ya mapigano,Kwa tufani katika siku ya kimbunga.