Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na watu watawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli itawamiliki katika nchi ya Yehova wakiwa watumishi wa kiume na wa kike;+ nao watawateka wale waliokuwa wamewateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kufanya kazi.*

  • Yeremia 50:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Nami nitamrudisha Israeli kwenye malisho yake,+ naye atalisha juu ya Karmeli na juu ya Bashani,+ naye atashiba kwenye milima ya Efraimu+ na ya Gileadi.’”+

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,

      “Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+

      Watu wangu waliobaki watawapora,

      Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki