Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kuhusu Waamoni,+ Yehova anasema hivi:

      “Je, Israeli hana wana:

      Je, hana mrithi?

      Kwa nini Malkamu+ amemiliki Gadi?+

      Na kwa nini watu wake wanaishi katika majiji ya Israeli?”

  • Amosi 1:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Yehova anasema hivi:

      ‘“Kwa sababu ya maasi matatu ya Waamoni,+ na hata manne, sitabadili uamuzi wangu,

      Kwa sababu waliwapasua tumbo wanawake wenye mimba wa Gileadi ili wapanue eneo lao wenyewe.+

  • Sefania 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Kwa hiyo, kwa hakika kama ninavyoishi,” asema Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli,

      “Moabu itakuwa tu kama Sodoma,+

      Na Waamoni kama Gomora,+

      Mahali penye upupu, shimo la chumvi, na nchi iliyoachwa ukiwa milele.+

      Watu wangu waliobaki watawapora,

      Na watu waliobaki wa taifa langu watamiliki nchi yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki