Mambo ya Walawi 26:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Basi nikalazimika kuwapinga+ kwa kuwapeleka katika nchi ya maadui wao.+ “‘Nilifanya hivyo ili mioyo yao mikaidi* inyenyekee,+ na ili walipie dhambi zao. Yeremia 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Jitahirini kwa ajili ya Yehova,Na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+Ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu,Ili ghadhabu yangu isiwake kama motoNa iteketeze bila yeyote wa kuizima,Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”+
41 Basi nikalazimika kuwapinga+ kwa kuwapeleka katika nchi ya maadui wao.+ “‘Nilifanya hivyo ili mioyo yao mikaidi* inyenyekee,+ na ili walipie dhambi zao.
4 Jitahirini kwa ajili ya Yehova,Na kuondoa magovi ya mioyo yenu,+Ninyi watu wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu,Ili ghadhabu yangu isiwake kama motoNa iteketeze bila yeyote wa kuizima,Kwa sababu ya matendo yenu maovu.”+