Isaya 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Tangazo dhidi ya Moabu:+ Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Kiri+ la Moabu limenyamazishwa. Yeremia 48:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameangamizwa! Kiriathaimu+ ameaibishwa na kutekwa. Kimbilio salama limeaibishwa* na kuvunjwavunjwa.+
15 Tangazo dhidi ya Moabu:+ Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Ari+ la Moabu limenyamazishwa. Kwa sababu limeharibiwa kwa usiku mmoja,Jiji la Kiri+ la Moabu limenyamazishwa.
48 Kuhusu Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Ole wake Nebo,+ kwa maana ameangamizwa! Kiriathaimu+ ameaibishwa na kutekwa. Kimbilio salama limeaibishwa* na kuvunjwavunjwa.+