Isaya 34:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana hasira ya Yehova inawaka dhidi ya mataifa yote,+Na ghadhabu yake dhidi ya jeshi lao lote.+ Atawaangamiza;Atawachinja.+ 3 Watu wao waliouawa watatupwa nje,Na uvundo wa maiti zao utapaa;+Milima itayeyuka kwa sababu ya* damu yao.+ Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
2 Kwa maana hasira ya Yehova inawaka dhidi ya mataifa yote,+Na ghadhabu yake dhidi ya jeshi lao lote.+ Atawaangamiza;Atawachinja.+ 3 Watu wao waliouawa watatupwa nje,Na uvundo wa maiti zao utapaa;+Milima itayeyuka kwa sababu ya* damu yao.+
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+