11 Nami nikaona mbingu imefunguliwa, na tazama! farasi mweupe.+ Na yule aliyeketi juu yake anaitwa Mwaminifu+ na wa Kweli,+ naye anahukumu na kupigana vita kwa uadilifu.+
15 Na kinywani mwake upanga mrefu mkali unachomoza,+ upanga ambao atatumia kuyapiga mataifa, naye atawachunga kwa fimbo ya chuma.+ Isitoshe, anakanyaga shinikizo la divai ya hasira ya ghadhabu ya Mungu Mweza-Yote.+