Isaya 30:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali sana,Likiwaka kwa hasira yake na kwa mawingu mazito. Midomo yake imejaa ghadhabu,Na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+ Nahumu 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.
27 Tazama! Jina la Yehova linakuja kutoka mbali sana,Likiwaka kwa hasira yake na kwa mawingu mazito. Midomo yake imejaa ghadhabu,Na ulimi wake ni kama moto unaoteketeza.+
2 Yehova ni Mungu anayetaka watu wamwabudu yeye peke yake+ naye hulipiza kisasi;Yehova hulipiza kisasi naye yuko tayari kuonyesha ghadhabu yake.+ Yehova hulipiza kisasi dhidi ya maadui wake,Naye hukusanya ghadhabu kwa ajili ya maadui wake.