Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 10:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Nuru+ ya Israeli itakuwa moto,+

      Na Mtakatifu wake mwali wa moto;

      Utawaka na kuteketeza magugu yake na vichaka vyake vya miiba kwa siku moja.

  • Nahumu 1:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Ni nani anayeweza kusimama mbele ya hasira yake kali?+

      Na ni nani anayeweza kustahimili joto la hasira yake?+

      Ghadhabu yake itamwagwa kama moto,

      Na miamba itavunjika-vunjika kwa sababu yake.

  • Sefania 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 ‘Kwa hiyo endeleeni kunitarajia,’*+ asema Yehova,

      ‘Mpaka siku nitakapoinuka ili kuchukua nyara,*

      Kwa maana uamuzi wangu wa hukumu ni kuyakusanya mataifa, kuzikusanya falme,

      Niwamwagie ghadhabu yangu, hasira yangu yote inayowaka;+

      Kwa maana dunia yote itateketezwa kwa moto wa bidii yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki