Yeremia 25:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+ Yeremia 25:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi; Obadia 16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana kama mlivyokunywa divai kwenye mlima wangu mtakatifu,Ndivyo mataifa yote yatakavyoendelea kunywa hasira yangu kama divai.+ Yatakunywa na kumeza hasira yangu,Nayo yatatoweka kana kwamba hayajawahi kuwepo.
17 Basi nikakichukua kile kikombe kutoka mkononi mwa Yehova na kuyanywesha mataifa yote ambayo Yehova alinituma kwao:+
20 na watu wa mataifa mbalimbali waliochangamana nao; wafalme wote wa nchi ya Usi; wafalme wote wa nchi ya Wafilisti,+ Ashkeloni,+ Gaza, Ekroni, na watu waliobaki wa Ashdodi;
16 Kwa maana kama mlivyokunywa divai kwenye mlima wangu mtakatifu,Ndivyo mataifa yote yatakavyoendelea kunywa hasira yangu kama divai.+ Yatakunywa na kumeza hasira yangu,Nayo yatatoweka kana kwamba hayajawahi kuwepo.