-
Yeremia 49:7, 8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi anasema hivi:
“Je, hakuna tena hekima yoyote huko Temani?+
Je, ushauri mzuri umetoweka kwa wale walio na uelewaji?
Je, hekima yao imeoza?
8 Kimbieni, geukeni!
Nendeni mkakae katika sehemu za chini zenye kina, enyi wakaaji wa Dedani!+
Kwa maana nitamletea Esau msiba
Wakati wangu wa kumkazia fikira utakapofika.
-