Mwanzo 36:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mke wa Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mke wa Esau.+ 11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+ Ezekieli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya Edomu na kuwaangamiza wanadamu na wanyama waliomo, nami nitaifanya kuwa ukiwa.+ Kuanzia Temani mpaka Dedani, watauawa kwa upanga.+ Amosi 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Basi nitaishushia moto Temani,+Nao utateketeza kabisa minara ya Bosra yenye ngome.’+ Obadia 8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Katika siku hiyo,” asema Yehova,“Je, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu+Na wenye utambuzi walio katika eneo lenye milima la Esau?
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mke wa Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mke wa Esau.+ 11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+
13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya Edomu na kuwaangamiza wanadamu na wanyama waliomo, nami nitaifanya kuwa ukiwa.+ Kuanzia Temani mpaka Dedani, watauawa kwa upanga.+
8 Katika siku hiyo,” asema Yehova,“Je, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu+Na wenye utambuzi walio katika eneo lenye milima la Esau?