Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:10, 11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mke wa Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mke wa Esau.+

      11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+

  • Ezekieli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu dhidi ya Edomu na kuwaangamiza wanadamu na wanyama waliomo, nami nitaifanya kuwa ukiwa.+ Kuanzia Temani mpaka Dedani, watauawa kwa upanga.+

  • Amosi 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Basi nitaishushia moto Temani,+

      Nao utateketeza kabisa minara ya Bosra yenye ngome.’+

  • Obadia 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Katika siku hiyo,” asema Yehova,

      “Je, sitawaangamiza wenye hekima kutoka Edomu+

      Na wenye utambuzi walio katika eneo lenye milima la Esau?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki