Mwanzo 36:10, 11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mke wa Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mke wa Esau.+ 11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+ Obadia 9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na mashujaa wako wataogopa,+ Ee Temani,+Kwa kuwa kila mtu aliye katika eneo lenye milima la Esau atauawa kwa upanga.+
10 Haya ndiyo majina ya wana wa Esau: Elifazi mwana wa Ada, mke wa Esau; Reueli mwana wa Basemathi, mke wa Esau.+ 11 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+
9 Na mashujaa wako wataogopa,+ Ee Temani,+Kwa kuwa kila mtu aliye katika eneo lenye milima la Esau atauawa kwa upanga.+