Yeremia 49:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi amesema hivi: “Je, hakuna tena hekima+ yoyote katika Temani?+ Je, shauri limeangamia kutoka kwa wale walio na uelewaji? Je, hekima yao imeoza?+
7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi amesema hivi: “Je, hakuna tena hekima+ yoyote katika Temani?+ Je, shauri limeangamia kutoka kwa wale walio na uelewaji? Je, hekima yao imeoza?+