Mwanzo 36:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, na Kenasi.+ 1 Mambo ya Nyakati 1:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Wana wa Esau walikuwa Elifazi, Reueli+ na Yeushi na Yalamu na Kora.+ 1 Mambo ya Nyakati 1:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wana wa Elifazi walikuwa Temani+ na Omari, Sefo na Gatamu, Kenasi+ na Timna+ na Amaleki.+ Ezekieli 25:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga. Amosi 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nami nitapeleka moto katika Temani,+ nao utaiteketeza minara ya makao ya Bosra.’+
13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.