Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Yobabu alipokufa, Hushamu kutoka katika nchi ya Watemani+ akaanza kutawala badala yake.+

  • Ezekieli 25:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.

  • Obadia 9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na wanaume wako wenye nguvu wataingiwa na woga,+ Ee Temani,+ kwa kuwa kila mmoja atakatiliwa mbali+ kutoka katika eneo lenye milima la Esau, kwa sababu ya kuuawa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki