13 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Pia nitaunyoosha mkono wangu juu ya Edomu+ na kukatilia mbali kutoka kwake mwanadamu na mnyama wa kufugwa,+ nami nitapafanya kuwa ukiwa kutoka Temani,+ mpaka Dedani.+ Wataanguka kwa upanga.
9 Na wanaume wako wenye nguvu wataingiwa na woga,+ Ee Temani,+ kwa kuwa kila mmoja atakatiliwa mbali+ kutoka katika eneo lenye milima la Esau, kwa sababu ya kuuawa.+