7 Kuhusu Edomu, Yehova wa majeshi amesema hivi: “Je, hakuna tena hekima+ yoyote katika Temani?+ Je, shauri limeangamia kutoka kwa wale walio na uelewaji? Je, hekima yao imeoza?+
9 Na wanaume wako wenye nguvu wataingiwa na woga,+ Ee Temani,+ kwa kuwa kila mmoja atakatiliwa mbali+ kutoka katika eneo lenye milima la Esau, kwa sababu ya kuuawa.+