6 Yehova ana upanga; nao utajazwa damu;+ utalainishwa kwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo dume na mbuzi-dume, kwa mafuta+ ya figo za kondoo-dume. Kwa maana Yehova ana dhabihu katika Bosra, na machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+
13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,”+ asema Yehova, “kwamba Bosra+ litakuwa kitu cha kushangaza,+ shutuma, uharibifu na laana tupu; na majiji yake yote yatakuwa mahali palipoharibiwa mpaka wakati usio na kipimo.”+