Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 36:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na Bela alipokufa, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra+ akaanza kutawala badala yake.+

  • Isaya 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova ana upanga; nao utajazwa damu;+ utalainishwa kwa mafuta, kwa damu ya wana-kondoo dume na mbuzi-dume, kwa mafuta+ ya figo za kondoo-dume. Kwa maana Yehova ana dhabihu katika Bosra, na machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.+

  • Isaya 63:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 63 Ni nani huyu anayetoka Edomu,+ aliye na mavazi yenye rangi zinazong’aa kutoka Bosra,+ huyu ambaye ana nguo zenye kuheshimika, anayetembea katika wingi wa nguvu zake?

      “Ni mimi, Yeye ambaye husema katika uadilifu,+ Yeye ambaye ni mwingi wa nguvu za kuokoa.”+

  • Yeremia 49:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Tazama! Mtu atapaa na kurukia mawindo kama tai,+ naye atanyoosha mabawa yake juu ya Bosra;+ na moyo wa wanaume wenye nguvu wa Edomu siku hiyo utakuwa kama moyo wa mke aliye na taabu ya kuzaa mtoto.”+

  • Amosi 1:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nami nitapeleka moto katika Temani,+ nao utaiteketeza minara ya makao ya Bosra.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki