Isaya 45:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sikusema katika mahali pa maficho,+ mahali penye giza pa dunia; wala sikuuambia uzao wa Yakobo, ‘Nitafuteni mimi tu bila sababu.’+ Mimi ni Yehova, ninayesema lililo la uadilifu, ninayetangaza lililo la unyoofu.+ Isaya 45:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 ukisema, ‘Hakika kuna uadilifu kamili na nguvu katika Yehova.+ Wale wote wanaomwakia hasira watakuja kwake moja kwa moja na kuona aibu.+
19 Sikusema katika mahali pa maficho,+ mahali penye giza pa dunia; wala sikuuambia uzao wa Yakobo, ‘Nitafuteni mimi tu bila sababu.’+ Mimi ni Yehova, ninayesema lililo la uadilifu, ninayetangaza lililo la unyoofu.+
24 ukisema, ‘Hakika kuna uadilifu kamili na nguvu katika Yehova.+ Wale wote wanaomwakia hasira watakuja kwake moja kwa moja na kuona aibu.+