Zaburi 111:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yanategemezwa vema milele, mpaka wakati usio na kipimo,+ע [ʽAʹyin]Yanafanywa katika kweli na unyoofu.+ Zaburi 119:137 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 137 Wewe ni mwadilifu, Ee Yehova,+Nayo maamuzi yako ya hukumu ni manyoofu.+ Methali 8:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Sikilizeni, kwa maana ninasema juu ya mambo ya kwanza kabisa,+ nami ninaifungua midomo yangu kuhusu unyoofu.+
8 Yanategemezwa vema milele, mpaka wakati usio na kipimo,+ע [ʽAʹyin]Yanafanywa katika kweli na unyoofu.+
6 Sikilizeni, kwa maana ninasema juu ya mambo ya kwanza kabisa,+ nami ninaifungua midomo yangu kuhusu unyoofu.+