Kumbukumbu la Torati 30:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Kwa maana amri hii ninayokuamuru leo si ngumu mno kwako, wala haiko mbali.+ Methali 8:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Je, hekima haendelei kupaaza sauti,+ na utambuzi haendelei kutoa sauti yake?+ Isaya 48:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Njooni karibu nami. Sikieni hili. Tangu mwanzo sikusema kutoka katika mahali pa maficho hata kidogo.+ Tangu wakati wa kutokea kwake mimi nimekuwa pale.” Na sasa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amenituma, ndiyo, roho yake.+
16 “Njooni karibu nami. Sikieni hili. Tangu mwanzo sikusema kutoka katika mahali pa maficho hata kidogo.+ Tangu wakati wa kutokea kwake mimi nimekuwa pale.” Na sasa Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova mwenyewe amenituma, ndiyo, roho yake.+