Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 147:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,+

      Na Israeli masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu.+

  • Methali 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ikiwa utaendelea kuutafuta kama fedha,+ na kuendelea kuutafuta kama hazina zilizofichika,+

  • Isaya 45:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sikusema katika mahali pa maficho,+ mahali penye giza pa dunia; wala sikuuambia uzao wa Yakobo, ‘Nitafuteni mimi tu bila sababu.’+ Mimi ni Yehova, ninayesema lililo la uadilifu, ninayetangaza lililo la unyoofu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki