Zaburi 147:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,+Na Israeli masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu.+ Methali 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ikiwa utaendelea kuutafuta kama fedha,+ na kuendelea kuutafuta kama hazina zilizofichika,+ Isaya 45:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Sikusema katika mahali pa maficho,+ mahali penye giza pa dunia; wala sikuuambia uzao wa Yakobo, ‘Nitafuteni mimi tu bila sababu.’+ Mimi ni Yehova, ninayesema lililo la uadilifu, ninayetangaza lililo la unyoofu.+
19 Sikusema katika mahali pa maficho,+ mahali penye giza pa dunia; wala sikuuambia uzao wa Yakobo, ‘Nitafuteni mimi tu bila sababu.’+ Mimi ni Yehova, ninayesema lililo la uadilifu, ninayetangaza lililo la unyoofu.+