Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Na Mungu akaanza kunena maneno haya yote, na kusema:+

  • Kumbukumbu la Torati 33:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+

      Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+

      Na wao—wao waliegama miguuni pako;+

      Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+

  • Zaburi 78:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+

      Na sheria akaiweka katika Israeli,+

      Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+

      Wawajulishe wana wao;+

  • Zaburi 103:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Alimjulisha Musa njia zake,+

      Matendo yake kwa wana wa Israeli.+

  • Waroma 9:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 ambao ni Waisraeli,+ ambao kule kufanywa wana+ ni kwao na utukufu+ na maagano+ na kupewa Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki