Kutoka 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Na Mungu akaanza kunena maneno haya yote, na kusema:+ Kumbukumbu la Torati 33:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+Na wao—wao waliegama miguuni pako;+Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+ Zaburi 78:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+Na sheria akaiweka katika Israeli,+Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+Wawajulishe wana wao;+ Zaburi 103:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Alimjulisha Musa njia zake,+Matendo yake kwa wana wa Israeli.+ Waroma 9:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 ambao ni Waisraeli,+ ambao kule kufanywa wana+ ni kwao na utukufu+ na maagano+ na kupewa Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi;+
3 Pia alikuwa akiwatunza kwa upendo watu wake;+Watakatifu wao wote wako mkononi mwako.+Na wao—wao waliegama miguuni pako;+Walianza kupokea baadhi ya maneno yako.+
5 Naye akatokeza kikumbusho katika Yakobo,+Na sheria akaiweka katika Israeli,+Mambo ambayo aliwaamuru mababu zetu,+Wawajulishe wana wao;+
4 ambao ni Waisraeli,+ ambao kule kufanywa wana+ ni kwao na utukufu+ na maagano+ na kupewa Sheria+ na utumishi mtakatifu+ na ahadi;+