Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 24:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Basi Musa akaandika maneno yote ya Yehova.+ Kisha akaamka asubuhi na mapema na kujenga kwenye sehemu ya chini ya huo mlima madhabahu na nguzo kumi na mbili zinazolingana na yale makabila kumi na mawili ya Israeli.+

  • Hesabu 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi husema naye kinywa kwa kinywa,+ na hivyo kumwonyesha, wala si kwa vitendawili;+ naye huona sura ya Yehova.+ Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema juu ya mtumishi wangu, juu ya Musa?”+

  • Kumbukumbu la Torati 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini hajainuka kamwe nabii katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso,+

  • Nehemia 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nawe ukawajulisha sabato+ yako takatifu, na amri na masharti na sheria ukawaamuru kupitia Musa mtumishi wako.+

  • Matendo 7:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Musa huyo, ambaye hao walimkana, wakisema, ‘Ni nani aliyekuweka wewe kuwa mtawala na mwamuzi?’+ mtu huyo Mungu alimtuma+ aende akiwa mtawala na pia mkombozi kwa mkono wa malaika aliyemtokea katika mti wa miiba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki