-
Yoshua 4:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
8 Basi wana wa Israeli wakafanya hivyo, kama vile Yoshua alivyokuwa ameamuru, nao wakachukua mawe kumi na mawili kutoka katikati ya Yordani, kama vile Yehova alivyokuwa amemwambia Yoshua, ili yalingane na hesabu ya makabila ya wana wa Israeli;+ nao wakayachukua na kuyapeleka kwenye yale makao+ na kuyaweka huko.
-