2 Na itatukia kwamba katika siku ambayo mtavuka Yordani+ kuingia katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, utajiwekea pia mawe makubwa na kuyapaka chokaa.
3 na kuwaamuru, mkisema, ‘Jichukulieni mawe kumi na mawili+ kutoka katikati ya Yordani, kutoka mahali ambapo miguu ya makuhani ilisimama,+ nanyi myachukue na kuyaweka katika makao+ mtakayokaa usiku huu.’”