3 na kuwaamuru, mkisema, ‘Jichukulieni mawe kumi na mawili+ kutoka katikati ya Yordani, kutoka mahali ambapo miguu ya makuhani ilisimama,+ nanyi myachukue na kuyaweka katika makao+ mtakayokaa usiku huu.’”
6 Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma ujumbe kwa Yoshua huko Gilgali kambini,+ wakisema: “Usiulegeze mkono wako uwaache watumwa wako.+ Panda uje kwetu haraka, utuokoe na kutusaidia, kwa maana wafalme wote wa Waamori wanaokaa katika eneo lenye milima wamekusanyika pamoja kutupiga sisi.”
5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+