Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 4:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 na kuwaamuru, mkisema, ‘Jichukulieni mawe kumi na mawili+ kutoka katikati ya Yordani, kutoka mahali ambapo miguu ya makuhani ilisimama,+ nanyi myachukue na kuyaweka katika makao+ mtakayokaa usiku huu.’”

  • Yoshua 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Yehova akamwambia Yoshua: “Leo nimeondolea mbali aibu ya Misri itoke juu yenu.”+ Basi jina la mahali hapo likaitwa Gilgali+ mpaka leo hii.

  • Yoshua 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Ndipo watu wa Gibeoni wakatuma ujumbe kwa Yoshua huko Gilgali kambini,+ wakisema: “Usiulegeze mkono wako uwaache watumwa wako.+ Panda uje kwetu haraka, utuokoe na kutusaidia, kwa maana wafalme wote wa Waamori wanaokaa katika eneo lenye milima wamekusanyika pamoja kutupiga sisi.”

  • Mika 6:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Tafadhali, enyi watu wangu, kumbukeni+ lile ambalo Balaki mfalme wa Moabu alishauri,+ na lile ambalo Balaamu mwana wa Beori alimjibu.+ Ilikuwa kutoka Shitimu+ mpaka Gilgali,+ kusudi matendo ya uadilifu ya Yehova yajulikane.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki