14 Nao wakaendelea kuwaambia: “Sisi hatuwezi kamwe kufanya jambo la namna hiyo, kumpa mwanamume mwenye govi+ dada yetu, kwa sababu hilo ni shutuma kwetu.
26 juu ya Misri+ na juu ya Yuda+ na juu ya Edomu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Moabu+ na juu ya wote wenye nywele zilizokatwa kwenye vipaji vya nyuso wanaokaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayakutahiriwa, na nyumba yote ya Israeli hawakutahiriwa moyoni.”+