Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 34:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao wakaendelea kuwaambia: “Sisi hatuwezi kamwe kufanya jambo la namna hiyo, kumpa mwanamume mwenye govi+ dada yetu, kwa sababu hilo ni shutuma kwetu.

  • Zaburi 119:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  39 Ufanye shutuma yangu ipitilie mbali, ambayo nimeiogopa,+

      Kwa maana maamuzi yako ya hukumu ni mema.+

  • Yeremia 9:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Tazama! Siku zinakuja,” asema Yehova, “nami nitamtoza hesabu kila mtu aliyetahiriwa lakini ambaye bado yumo katika hali ya kutotahiriwa,+

  • Yeremia 9:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 juu ya Misri+ na juu ya Yuda+ na juu ya Edomu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Moabu+ na juu ya wote wenye nywele zilizokatwa kwenye vipaji vya nyuso wanaokaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayakutahiriwa, na nyumba yote ya Israeli hawakutahiriwa moyoni.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki