Mwanzo 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Wakawaambia: “Hatuwezi kamwe kufanya jambo kama hilo, kukubali dada yetu aolewe na mwanamume ambaye hajatahiriwa,*+ kufanya hivyo ni fedheha kwetu.
14 Wakawaambia: “Hatuwezi kamwe kufanya jambo kama hilo, kukubali dada yetu aolewe na mwanamume ambaye hajatahiriwa,*+ kufanya hivyo ni fedheha kwetu.