Yeremia 9:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 yaani, Misri+ na Yuda+ na Edomu+ na Waamoni+ na Moabu+ na wale wote wanaonyoa nywele pembeni mwa vichwa vyao ambao wanakaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayajatahiriwa, na watu wote wa nyumba ya Israeli hawajatahiriwa moyoni.”+ Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 9:26 Mnara wa Mlinzi,3/15/2013, kur. 9-10
26 yaani, Misri+ na Yuda+ na Edomu+ na Waamoni+ na Moabu+ na wale wote wanaonyoa nywele pembeni mwa vichwa vyao ambao wanakaa nyikani;+ kwa maana mataifa yote hayajatahiriwa, na watu wote wa nyumba ya Israeli hawajatahiriwa moyoni.”+