Kumbukumbu la Torati 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+ Zaburi 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+ Zaburi 119:75 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 75 Najua vema, Ee Yehova, kwamba maamuzi yako ya hukumu ni uadilifu+Na kwamba umenitesa kwa uaminifu.+
8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+
9 Kumwogopa+ Yehova ni jambo safi, husimama milele.Maamuzi ya hukumu+ ya Yehova ni ya kweli;+ yote yameonekana kuwa yenye uadilifu.+
75 Najua vema, Ee Yehova, kwamba maamuzi yako ya hukumu ni uadilifu+Na kwamba umenitesa kwa uaminifu.+