Zaburi 49:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Nitatega sikio langu nisikie maneno ya kimethali;+Nitafumbua kitendawili+ changu kwa kinubi. 1 Wakorintho 13:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana wakati wa sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi kupitia kioo cha chuma,+ lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso.+ Wakati wa sasa najua kwa sehemu tu, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi kama vile ninavyojulikana kwa usahihi.+
12 Kwa maana wakati wa sasa tunaona kwa njia isiyo ya waziwazi kupitia kioo cha chuma,+ lakini wakati huo itakuwa uso kwa uso.+ Wakati wa sasa najua kwa sehemu tu, lakini wakati huo nitajua kwa usahihi kama vile ninavyojulikana kwa usahihi.+