Hesabu 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?” Hesabu Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 12:8 Mnara wa Mlinzi,5/15/1988, uku. 21
8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”