Kutoka 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yehova aliongea na Musa uso kwa uso,+ kama mwanadamu anavyoongea na mwanadamu mwenzake. Musa aliporudi kambini, Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mhudumu na mtumishi wake,+ hakuondoka hemani. Kumbukumbu la Torati 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini hajatokea tena nabii mwingine katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso.+
11 Yehova aliongea na Musa uso kwa uso,+ kama mwanadamu anavyoongea na mwanadamu mwenzake. Musa aliporudi kambini, Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mhudumu na mtumishi wake,+ hakuondoka hemani.
10 Lakini hajatokea tena nabii mwingine katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso.+