Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+ Matendo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+ Matendo 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia hivi wana wa Israeli: ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.’+
22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+
37 “Huyo ndiye Musa aliyewaambia hivi wana wa Israeli: ‘Mungu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.’+