22 Utukufu wangu utakapokuwa ukipita, nitakuingiza kwenye shimo ndani ya mwamba, nami nitakukinga kwa mkono wangu mpaka nitakapopita. 23 Kisha nitauondoa mkono wangu, nawe utauona mgongo wangu. Lakini uso wangu hautaonekana.”+
38 Huyo ndiye aliyekuwa kati ya kutaniko huko nyikani pamoja na malaika+ aliyezungumza naye+ kwenye Mlima Sinai na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu yaliyo hai ili atupatie.+