Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 33:22, 23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Utukufu wangu utakapokuwa ukipita, nitakuingiza kwenye shimo ndani ya mwamba, nami nitakukinga kwa mkono wangu mpaka nitakapopita. 23 Kisha nitauondoa mkono wangu, nawe utauona mgongo wangu. Lakini uso wangu hautaonekana.”+

  • Hesabu 12:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Mimi huongea naye uso kwa uso,*+ waziwazi, wala si kwa mafumbo; naye huona uwepo wangu, mimi Yehova. Kwa nini, basi, hamkuogopa kusema vibaya kumhusu Musa, mtumishi wangu?”

  • Kumbukumbu la Torati 34:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Lakini hajatokea tena nabii mwingine katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso.+

  • Yohana 1:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakuna mwanadamu ambaye amemwona Mungu wakati wowote;+ mungu mzaliwa pekee+ aliye kando ya Baba,*+ ndiye ameeleza kumhusu.+

  • Yohana 6:46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Hakuna mwanadamu yeyote ambaye amemwona Baba,+ ila yule aliyetoka kwa Mungu; huyo amemwona Baba.+

  • Matendo 7:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Huyo ndiye aliyekuwa kati ya kutaniko huko nyikani pamoja na malaika+ aliyezungumza naye+ kwenye Mlima Sinai na mababu zetu, naye akapokea maneno matakatifu yaliyo hai ili atupatie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki