Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mtumishi wa Musa tangu ujanani, akasema: “Bwana wangu Musa, wakataze!”+ Kumbukumbu la Torati 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wako,*+ ndiye atakayeingia katika nchi hiyo.+ Mwimarishe,*+ kwa maana atawawezesha Waisraeli kuirithi nchi hiyo.”) Yoshua 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua*+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa:
28 Ndipo Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mtumishi wa Musa tangu ujanani, akasema: “Bwana wangu Musa, wakataze!”+
38 Yoshua mwana wa Nuni, mtumishi wako,*+ ndiye atakayeingia katika nchi hiyo.+ Mwimarishe,*+ kwa maana atawawezesha Waisraeli kuirithi nchi hiyo.”)
1 Baada ya kifo cha Musa mtumishi wa Yehova, Yehova akamwambia Yoshua*+ mwana wa Nuni, mhudumu+ wa Musa: