Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Ndipo Musa akamwambia Yoshua:+ “Tuchagulie wanaume wakapigane na Waamaleki. Kesho nitasimama juu ya kilima, nikiwa na fimbo ya Mungu wa kweli mkononi mwangu.”

  • Kutoka 24:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Basi Musa akaondoka pamoja na Yoshua mhudumu wake,+ naye Musa akapanda kwenye mlima wa Mungu wa kweli.+

  • Kutoka 33:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Yehova aliongea na Musa uso kwa uso,+ kama mwanadamu anavyoongea na mwanadamu mwenzake. Musa aliporudi kambini, Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mhudumu na mtumishi wake,+ hakuondoka hemani.

  • Hesabu 27:18-20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+ 19 Kisha umsimamishe mbele ya kuhani Eleazari na mbele ya watu wote, nawe umweke kuwa kiongozi.+ 20 Utampa sehemu ya mamlaka* yako,+ ili Waisraeli wote wamsikilize.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Yehova Mungu wenu ndiye anayevuka mbele yenu, naye mwenyewe atayaangamiza mataifa haya kutoka mbele yenu, nanyi mtayafukuza.+ Yoshua ndiye atakayewaongoza kuvuka,+ kama Yehova alivyosema.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki