Kutoka 33:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema. Kumbukumbu la Torati 34:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini hajainuka kamwe nabii katika Israeli aliye kama Musa,+ ambaye Yehova alimjua uso kwa uso,+
11 Naye Yehova akasema na Musa uso kwa uso,+ kama vile mwanadamu anavyosema na mwenzake. Aliporudi kambini, mhudumu wake+ Yoshua, mwana wa Nuni,+ akiwa mtumishi, hakuwa akiondoka katikati ya hema.