Kumbukumbu la Torati 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+ Kumbukumbu la Torati 27:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nawe utaandika juu yake maneno yote ya sheria hii+ utakapokuwa umevuka,+ ili uingie katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nchi inayotiririka maziwa na asali, kulingana na yale ambayo Yehova Mungu wa mababu zako amesema nawe.+ Zaburi 147:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Anamtangazia Yakobo neno lake,+Na Israeli masharti+ yake na maamuzi yake ya hukumu.+
8 Na kuna taifa gani kubwa lenye masharti na maamuzi ya hukumu ya uadilifu kama sheria yote hii ninayoweka mbele yenu leo?+
3 Nawe utaandika juu yake maneno yote ya sheria hii+ utakapokuwa umevuka,+ ili uingie katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe, nchi inayotiririka maziwa na asali, kulingana na yale ambayo Yehova Mungu wa mababu zako amesema nawe.+