9 Na katika siku hiyo hakika mtu atasema: “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu.+ Tumemtumaini yeye,+ naye atatuokoa.+ Huyu ndiye Yehova.+ Tumemtumaini yeye. Na tuwe na shangwe na kushangilia katika wokovu wake.”+
26 Nami nitawafanya wale wanaokutendea vibaya waile nyama yao; nao watalewa kwa damu yao kana kwamba ni kwa divai tamu. Na wanadamu wote watajua kwamba mimi, Yehova,+ ni Mwokozi+ wako na Mkombozi+ wako, Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+