Ezekieli 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Edomu ametenda kwa kulipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda nao waliendelea kufanya kosa kwa kadiri kubwa na kujilipizia kisasi juu yao,+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 25:12 Ibada Safi, uku. 74
12 “Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi, ‘Kwa sababu Edomu ametenda kwa kulipiza kisasi juu ya nyumba ya Yuda nao waliendelea kufanya kosa kwa kadiri kubwa na kujilipizia kisasi juu yao,+