2 Wafalme 24:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wakati huo watumishi wa Mfalme Nebukadneza wa Babiloni walipanda kwenda kushambulia Yerusalemu, wakalizingira jiji hilo.+ 2 Wafalme 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Pia mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni Babiloni mashujaa wote, 7,000, na vilevile mafundi na wahunzi* 1,000, wote walikuwa wanaume mashujaa waliozoezwa kupigana vita. Yeremia 52:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Hawa ndio watu ambao Nebukadneza* aliwapeleka uhamishoni: katika mwaka wa 7, Wayahudi 3,023.+
10 Wakati huo watumishi wa Mfalme Nebukadneza wa Babiloni walipanda kwenda kushambulia Yerusalemu, wakalizingira jiji hilo.+
16 Pia mfalme wa Babiloni aliwapeleka uhamishoni Babiloni mashujaa wote, 7,000, na vilevile mafundi na wahunzi* 1,000, wote walikuwa wanaume mashujaa waliozoezwa kupigana vita.