-
Mwanzo 27:41, 42Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
41 Hata hivyo, Esau akawa na chuki kali dhidi ya Yakobo kwa sababu ya baraka ambayo baba yake alikuwa amempa,+ na Esau akawa akisema moyoni mwake: “Siku za kumwombolezea baba yangu zinakaribia.+ Zitakapokwisha nitamuua Yakobo ndugu yangu.” 42 Rebeka alipoambiwa maneno ya Esau mwana wake mkubwa, mara moja akaagiza Yakobo mwana wake mdogo aitwe, akamwambia: “Tazama! Esau ndugu yako anapanga kukuua ili kulipiza kisasi.*
-
-
Zaburi 83:4-6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
4 Wanasema: “Njooni, acheni tuwaangamize wakiwa taifa,+
Ili jina la Israeli lisikumbukwe tena kamwe.”
6 Mahema ya Edomu na Waishmaeli, Moabu+ na Wahagri,+
-
Amosi 1:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Yehova anasema hivi:
-
-
-