Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 1:8-10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Baada ya muda mfalme mpya ambaye hakumjua Yosefu akaanza kutawala Misri. 9 Akawaambia watu wake: “Tazameni! Waisraeli ni wengi zaidi na wenye nguvu kuliko sisi.+ 10 Acheni tushughulike nao kwa akili. La sivyo, wataendelea kuongezeka, na vita vikitokea, wataungana na maadui wetu na kupigana nasi na kuondoka nchini.”

  • 2 Mambo ya Nyakati 20:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Baadaye Wamoabu+ na Waamoni,+ pamoja na baadhi ya Waamonimu,* wakaja kupigana vita na Yehoshafati.

  • Esta 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini alichukizwa na wazo la kumuua Mordekai peke yake, kwa maana alikuwa ameambiwa kuhusu watu wa Mordekai. Hivyo, Hamani akaanza kutafuta njia ya kuwaangamiza Wayahudi wote katika milki yote ya Ahasuero, watu wote wa Mordekai.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki