6 Lakini lilikuwa jambo la kudharaulika machoni pake kunyoosha mkono wake juu ya Mordekai peke yake, kwa maana walikuwa wamemwambia kuhusu watu wa Mordekai; kwa hiyo Hamani akaanza kutafuta kuwaangamiza+ Wayahudi wote waliokuwa katika utawala wote wa Ahasuero, watu wa Mordekai.+