Zaburi 105:24, 25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Mungu aliwafanya watu wake waongezeke sana;+Aliwafanya wawe na nguvu kuliko maadui wao,+25 Akaruhusu mioyo yao ibadilike ili wawachukie watu wake,Ili wapange njama dhidi ya watumishi wake.+
24 Mungu aliwafanya watu wake waongezeke sana;+Aliwafanya wawe na nguvu kuliko maadui wao,+25 Akaruhusu mioyo yao ibadilike ili wawachukie watu wake,Ili wapange njama dhidi ya watumishi wake.+