Waamuzi 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Waisraeli wakamtumikia Egloni mfalme wa Moabu kwa miaka 18.+ 2 Samweli 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akawashinda Wamoabu+ na kuwaamuru walale chini ardhini, naye akawapima kwa kamba. Alipima safu mbili za watu ambao wangeuawa, na safu moja nzima ya watu ambao hawangeuawa.+ Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+ Zaburi 83:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa maana, tazama! Maadui wako wanafanya fujo;+Wale wanaokuchukia wanatenda kwa kiburi.* Zaburi 83:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Mahema ya Edomu na Waishmaeli, Moabu+ na Wahagri,+
2 Akawashinda Wamoabu+ na kuwaamuru walale chini ardhini, naye akawapima kwa kamba. Alipima safu mbili za watu ambao wangeuawa, na safu moja nzima ya watu ambao hawangeuawa.+ Wamoabu wakawa watumishi wa Daudi na kumletea ushuru.+